Tafuta katika Blogu Hii

Jumapili, 28 Desemba 2014

Diamond Platnumz Afika Ikulu Kwa Kishindo Atimba Kw a Jk akiwa na Tuzo Zake Tano.

Fuatilia hapa zaidi................!

 
Msanii Diamond Platnumz amepata nafasi ya kipekee ya kukutana na rais leo December 23 2014 kwenye Ikulu ya Tanzania. Diamond amekaribishwa ikulu kwenda kupokea shukrani kwa kufanikiwa kuwakilisha taifa la Tanzania vizuri kwenye tuzo tofauti nje na ndani ya africa zikiwemo za kituo kikubwa cha Tv cha Channel O zilizofanyika mwaka huu huko Afrika Kusini.

Diamond Platnumz alikuwenda na tuzo zake tano na kumuonyesha Rais Jakaya Kikwete.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni