atoa ushuhuda juu ya rafiki yake kumuua mkewe na kisha kujiuwa mwenyewe
Bondia Floyde Mayweather ametoa ushuhuda wake kwa polisi wa katika interview ya masaa mawili juu ya mauaji yaliyotokea wiki hii pale rafiki na rapper Earl Hayes alipomuua mke wake na kisha kujiua mwenyewe wakati alipokuwa akionge nae kupitia "face time" ambayo ni kama skype
Floyd amethibitisha kuwa alikuwa akiongea na Hayes (huku wakionana) siku ya jumatatu wakati rapper huyo alipoondoka kwenye simu nakueelekea bafuni na kummiminia risasi kadhaa mke wake, Stephanie Moseley.
Mayweather amewaambia wapelelezi kuwa baada ya Hayes kumpiga risasi mkewe, alirudi kwenye simu na kuendelea kuongea nae na kumwambia anaenda kujiua na yeye na Mayweather alimuomba asifanye hivyo
Kilichotokea kabla ya mauaji hayo, Floyde amewaambia amesema alikuwa akiongea na Hayes kuhusu mkewe kum-cheat katika mapenzi yao ambapo alidai kuwa alikuwa amejiingiza katika uhusiano wa kimapenxi na muimbaji Trey Songs
alipoulizwa kwanini Hayes alimpigia simu saa moja ya asubuhi, alisema ni kwasababu walikuwa ni marafiki sana na likuwa akijaribu kumuaga.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni