Tafuta katika Blogu Hii

Jumatano, 21 Mei 2014

PINDI CHANA,ROSE MLAY WAUNGA MKONO HUDUMA ZA UZAZI WA DHARULA DODOMA.



Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Pindi Chana (kushoto) akizunghumza jambo na Mratibu wa Taifa wa  mtandao wa Utepe Mweupe na Uzazi salama , Rose Mlay  mjini Dodoma jana. Semina hiyo ililenga kuwaomba Wabunge kuunga mkono bajeti yenye kipengele kinacholenga huduma za uzazi za dharula ikiwa na pamoja na upasuaji na damu salama katika vituo vya afya.
 Wabunge wakifuatilia kwa umakini senmina hiyo.
 Baadhi ya wabunge wakisoma vipeperushi vilivyotolewa na mtandao wa utepe mweupe na Uzazi salama mjini Dodoma jana. Semina hiyo ililenga kuwaomba Wabunge kuunga mkono bajeti yenye kipengele kinacholenga huduma za uzazi za dharula ikiwa na pamoja na upasuaji na damu salama katika vituo vya afya.
 Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage nae akisoma vipeperushi hivyo.

Msanii wa Mashairi, Mrisho Mpoto maarufu Mjomba, akighani mashairi yake wakati Semina ya Wabunge iliyolenga kuwaomba Wabunge kuunga mkono bajeti yenye kipengele kinacholenga huduma za uzazi za dharula ikiwa na pamoja na upasuaji na damu salama katika vituo vya afya. Semina hiyo iliandaliwa na mtandao wa utepe mweupe na Uzazi salama mjini Dodoma jana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni