Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mh Kangi Lugola akisalimiana na Msemaji wa Jeshi la Polisi DCP Ahmed
Msangi pindi alipowasili katika viwanja vya Shule ya Polisi Moshi CCP wakati
wa kufunga mafunzo ya awali ya askari Polisi 871 waliohitimu mafunzo yao
mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRyTbiNQb_iDH8JJ0O1lVayK5m44n-t4kOubWJwtUA8d3Ln6lL_hbUgTYT00ErcVn5pJiQePPP1L7sYvyfteVUsYWRvuHB4ccuWBI8jrc9Pj8fVJNUFUrTQbcpIl7UOQZYDH1PcDRejHgt/s640/PICHA-NAMBA-1-768x512.jpg) |
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu wakati wa
sherehe za mahafali ya kumaliza mafunzo hayo.
TIZAMA PICHA HIZI ZA IGP SIRRO AKISALIMIANA NA BAADHI YA VIONGOZI WA JESHI LA POLISI.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGgGfh3Z7SLxp21VUSXGhyJYJ-LNNsZf789kmhfNy2jBxP7E9oX5ikyQXPxzxsftBlJ0SaTV2FTkV7OlVI5EIQ2Lm3jkSLyOy-auQGlKb6HhWmQ7rYcr5q_qguvmd3ECdbq8FZKxcEVm5d/s640/IMG_9023.JPG) |
IGP SIRRO AKISALIMIANA NA KAMANDA RPC KILIMANJARO HAMISI ISSA.
|
|
|
SHUHUDIA MAZOEZI YA MAFUNZO KUTOKA KWA WAHITIMU.
|
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfrDH69v5SvV_H1mA3hK_BwnO1_Xvenc1z0glK_jkmg5LVCQWPr5yq-yP3zH1zUd9kTh9Y6ow34ZDiig1fdo2V5PRMiam-LyWS07JQMb3fYwI_oUnrn8YZN0h3-qHg9E7Ug_9O2mGHJ58l/s640/PICHA-NAMBA-7.-768x512.jpg) |
Askari
wa Kikosi Maalum cha Kupambana na Uhalifu (SUT) wakiwa katika silaha ya kivita
aina ya (fourteen) wakati wakifanya onesho maalum wakati wa kufugwa kwa mafunzo
ya awali ya askari Polisi katika Shule ya Polisi Moshi CCP. |
|
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4rbntdx6Q7nynOS1TBQ7ft_13L5BGWQq2sHrLI8TP9ZbYdFAKSU2gN-nayJZ2ZlevoZ_nm7GxlGGLT1ggurw_wiCbzB2U-ZtoSsEKyGTN-36-NJz2uZ2Dx8ax2_WfAvqMLfNG_2u3Cvho/s640/PICHA-NAMBA-6-768x512.jpg) |
Askari
wa Kikosi Maalum cha Kupambana na Uhalifu (SUT) kikipita kwa mwendo wa kunyakua
wakati wakifanya onesho maalum wakati wa kufugwa kwa mafunzo ya awali ya askari
Polisi katika Shule ya Polisi Moshi CCP.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRrLlyYQedXyUtw9l5-Rcmqt84eRsZUQ47bHHnrgKqFvZ0ZS240pF0EosZU-IrD5OYCfIPGLHC1-wLoT5Rj0TsQXNDiQqWOZQVyYQIpCWipOLmBVejS7YGpnBu7FDLsIdVL23TZB7GKz4R/s640/PICHA-NAMBA-4-768x512.jpg) |
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh Kangi Lugola akikagua gwaride la wahitimu katika viwanja
vya Shule ya Polisi Moshi CCP kisha kuwatunuku vyeti jumla ya askari 871.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0UAlCbW6iIDFqHxSTw5v0Wn0ccsv4V8XZlsI77IggtHtqk5gOC89A0lWoxNXxqCPaHFNr6OyvrWgZVXLAM4Cc_IZwym0VArB3zVfPCqFSr2-B_2-KRayQdHZOSIOmimMVPG7dYHrJ08-3/s640/IMG_8997.JPG) |
|
|
|
|