Katibu wa Itikadi na Uenezi mkoa wa Morogoro, Dorothy Mwamsiku,
akifungua semina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi ya CCM, wilaya ya
Kinondoni, leo Des 17, 2013, katika hoteli ya Road View, nje kidogo ya
Manispaa ya Morogoro. Wengine ni Mwenyekiti wa CCM wilaya hiyo, Salum
Madenge na Mwenyekiti wa Wazazi Kinondoni, Charles Mgonja.(Picha na
Latifa Ganzel) |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni