![]() |
Mwenyekiti wa Kijiji cha Ruvu Jiungeni Lepuruka Laize, akifafanua kiini cha mgogoro wa siku nyingi baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji, mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. |
![]() |
Gama akitoa maamuzi ya serikali kuhusu Mgogoro wa siku nyingi kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Ruvu Jiungeni, kata ya Ruvu, wilayani Same, Mgogoroulioanza tangu mwaka 1987. |
![]() |
Mmoja ya wazee wa Jamii ya Wakulima akizungumza mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa, iliyotembelea kijiji cha Ruvu Jiungeni, Kata ya Ruvu, wilayani Same, kutoa ufumbuzi wa mgogoro huo. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni