Meneja wa
Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe, inayozidhamini Simba na Yanga akimkabidhi
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itangare (Mzee Kinesi) na Mjumbe wa
Kamati ya Utendaji ya Simba, Ibrahim Masoud (Maestro) jezi maalum
itakayotumika kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe itakayozikutanisha Simba na
Yanga kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Jumamosi tarehe 21
Desemba. (Picha: Executive
Solutions). |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni