Tafuta katika Blogu Hii

Jumatano, 22 Mei 2019

JUKWAA LA WASANII MKOANI KILIMANJA LIMEZINDULIWA RASMI WASANII WAAHIDI...



FUATILIA KWA PICHA ZIFUATAZO UWEPO WA WASHIRIKI.
Kulia ni Afisa Utamaduni Moshi Manispaa Bw.Francis Shelutete anayefuata ni Mgeni rasmi Bw.Frank Kabuye na Mwisho kabisa nikatibu wa jukwaa la wasanii Kilimanjaro Bw.Abdalla Abubakar (DULA WETU).
Tabibu wa tiba asili Bw.John Kanje kutoka kampuni ya Kangaa Herbal Clinick akitoa maelezo na ufafanuzi wa kina  kuhusu tiba hiyo kwa mgeni rasmi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa CCM-Majengo mjini Moshi.
Aliyevaa  kofia ni Mlezi wa Wasanii mkoani Kiimanjaro Bw.Fred Tembi akipeana mikono na Katibu wa jukwaa hilo Bw.Abdalla  Abubakar (Dula Wetu).


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni